THE INSTITUTE OF FINANCE
MANAGEMENT
IFM ALUMNI COMMUNITY
IFM yaibuka mshindi sekta ya Vyuo Vya Elimu ya Juu WIKI YA HUDUMA ZA FEDHA KITAIFA, 2024 - MBEYA
Chuo Cha Usimamizi wa Fedha (IFM) kimeibuka mshindi kwenye maonyesho ya Maadhimisho Ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa 2024, yaliyofanyika Mbeya. IFM, pamoja na mambo mengine, ilitoa elimu kwa kueneza programu yake ya "Certified Financial Educator" inayoendeshwa kwa kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania, na Elimu ya Ushiriki na Kuwekeza kwenye Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) Sambamba na hayo Chuo pia kilionyesha (showcasing) mafanikio yaliyopatiakana kwa kipindi cha hivi karibuni katika shindano la “DSE investment Scholar Challenge 2024” ambapo Chuo kilitoa mshindi kwa nafasi ya 1, 6, 8 na 9) kwa washindani wa mtu mmoja mmoja (kati ya washindani 816). Kwa upande wa washindani kwa ngazi ya makundi Chuo, kiliibuka mshindi kwa nafasi 1 na ya 2 (kati ya makundi 12). IFM #TupoJuuu#PopoteUtakapokwendaIFMniileile #Daresalaam#Mwanza#Simiyu#Dodoma#Geita
RELATED NEWS
Ofisi ya Rais – Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma (OR-SMVU), 24...
IFM conducted a public lecture with the theme “From Campus to Cashflow: Th...
The Institute of Finance Management (IFM) 4th Intake CFEs' graduation, organised...
IFM trained 26 Stanbic Bank staff who graduated as Certified Financial Educators...
The Institute of Finance Management Students’ Organisation (IFMSO) witness...
.
P.O Box 3918, 5 Shaaban Robert Street
11101 Dar es salaam
+255 22 2112931-4
Fax : +255 22 2112935
alumni@ifm.ac.tz | +255222112931-4