THE INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT
IFM ALUMNI COMMUNITY

CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA WAKABIDHI MISAADA YA KIBINADAMU KWA AJILI YA WAATHIRIKA WA MAFURIKO YALIYOTOKEA KIBITI NA RUFIJI, APRILI 2024

Katibu Tawala wa Wilaya ya Kibiti, Bi. Mariam Katemana (aliyesimama kulia), akipokea, kwa niaba ya Mwenyekiti wa Kamati ya Maafa na Mkuu wa Wilaya ya Kibiti, Mheshimiwa Kanali Joseph Kolombo, baadhi ya misaada ya kibinadamu kutoka kwa Dkt. Eugene Mniwasa (wa pili kutoka kushoto), Mwenyekiti wa Kamati ya Muda Maafa ya Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), jana tarehe 16/08/2024. Pamoja nao, ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti, Bw. Denis Kitali (wa pili Kushoto), na Bw Juma Kibacha, kutoka IFM (wa kwanza kulia).

 

Wafanyakazi wa IFM, Chama cha Wafanyakazi wa Elimu ya Juu (RAAWU) tawi la IFM, na Chama cha Akiba na Mikopo IFM (IFM SACCOS) walichanga fedha (zaidi ya TShs 6,400,000/), nguo na vifaa mbalimbali kwa ajili ya waathirika wa mafuriko yaliyotokea katika wilaya za Kibiti na Rufiji mwezi Aprili 2024.

Contacts

P.O Box 3918, 5 Shaaban Robert Street

11101 Dar es salaam

+255 22 2112931-4

Fax : +255 22 2112935

alumni@ifm.ac.tz | +255222112931-4

Quick Links
Undergraduate Programmes
Postgraduate Programmes
Fee Structure
Frequently Asked Questions
Research Areas
Customers Service Delivery Charter
© 2025 The Institute of Finance Management. All rights reserved.