THE INSTITUTE OF FINANCE
MANAGEMENT
IFM ALUMNI COMMUNITY
MAFUNZO YA UTAWALA BORA NA UADILIFU KWA WAJUMBE WA KAMATI MBALIMBALI
“Ni muhimu sana kuwa makini kwenye uadilifu, maana huu ni msingi mkuu wa utumishi wa umma”. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha, Prof Josephat Lotto (Picha ya Chini; katikati – mstari wa waliokaa), Tarehe 24 Mei 2024, alipokuwa akifungua mafunzo ya Utawala Bora na Uadilifu kwa Wajumbe wa Kamati Maalumu ya Menejimenti. Aliongezea kuwa, “uadilifu ndiyo nguzo muhimu katika kuimarisha uwazi na uwajibikaji”. Mafunzo hayo yamefanyika kwa siku tatu, tarehe 22 – 24 Mei 2024, katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha. Mafunzo ya Utawala Bora na Uadilifu yalitolewa kwa Maafisa Mrejesho na Wajumbe wa Kamati ya Uadilifu (Picha ya Juu), na kwa Wajumbe wa Kamati Maalumu ya Menejimenti (Picha ya Chini). Mafunzo hayo yalitolewa na wawezeshaji kutoka Ofisi ya Raisi – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, na kutoka Ofisi ya Raisi – Ikulu. Lengo lilikuwa ni kuongeza uelewa kuhusu utawala bora kwa wajumbe wa kamati hizo.
RELATED NEWS
https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLSc1FxVTLivOD9znWP7GxoYi8pl21rs9ne522ZnN...
TO REGISTER, PLEASE CLICK THIS LINK: https://forms.gle/sDTTd1RdxhH47bcD8
Leo Jumatano tarehe 13 Novemba 2024 IFM inaendelea kubaki juu kwa Kushinda mechi...
Training Fee - Tshs. 500,000/- Per ParticipantFor More Information - +255 654 59...
The Institute of Finance Management (IFM) believes in the power of collaboration...
Chuo Cha Usimamizi wa Fedha (IFM) kimeibuka mshindi kwenye maonyesho ya Maadhimi...
P.O Box 3918, 5 Shaaban Robert Street
11101 Dar es salaam
+255 22 2112931-4
Fax : +255 22 2112935
alumni@ifm.ac.tz | +255222112931-4